CHADEMA WASEPA NA KIJIJI MBEYA UZINDUZI WA NO REFORMS NO ELECTION
tz360news-
0
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu akizungumza na wananchi wa Mbeya katika viwanja vya Ruanda Nzovwe. Chama kinazindua operesheni #NoReformsNoElection katika jiji la Mbeya leo tarehe 23 Machi 2025.