Waziri Majaliwa Atoa Neno

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inafanya jitihada kuhakikisha tatizo la usafiri kwa wananchi wa Mafia linakwisha."Nataka niwahakikishie wananchi wa Mafia kwamba kazi inaendelea vizuri na hivi karibuni watapata usafiri wa uhakika."


Post a Comment

Previous Post Next Post