Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Dkt. Eveline Munisi akipata maelezo kutoka kwa vijana wanaopata mafunzo ya Uanagenzi awamu ya 8 ya mwaka 2025/2026 katika ziara yake ya kikazi katika ufatiliaji wa maendeleo ya Mafunzo ya Uanagenzi Chuo cha Maendeleo ya Vijana Sengerema (FDC) Juni 29, 2026 Wilaya ya Sengerema, Mkoani Mwanza.
NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU KAZI,AJIRA NA MAHUSIANO DKT EVELINE MUNISI AKIPATA MAELEKEZO KWA VIJANA WANAOPATA MAFUNZO YA UANAGENZI
ASHRACK
-
0



