Halmashauri kuu ya ccm Dar es Salaam yatembelea mradi wa gesi wa kinyerezi



Katibu mkuu wa wa Wizara ya Nishati na Madini , Eliakim Maswi, akiwaonyesha wajumbe wa Halmashauri kuu ya Chama cha mapinduzi na Kamati ya ulinzi na usalama namna mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi jinsi itakavyofanya  kazi Pembeni ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam. Picha na Humphrey Shao.




Post a Comment

Previous Post Next Post