MAGHEMBE AFUNGA MAFUZO YA MAOFISA WA NGAZI ZA JUU WA TANAPA MKOANI KATAVI

 Waziri wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akikagua gwaride wakati wa kufunga mafunzo ya kijeshi kwa viongozi wa ngazi za juu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA),mafunzo yaliyofanyika kambi ya Mlele mkoani Katavi ikiwa ni sehemu ya kubadili mfumo wa utendaji kazi wa shirika hilo kutoka mfumo wa kiraia kuwa Jeshi Usu.

 Maofisa wa ngazi za juu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wakila kiapo cha utii wakati wa kuhitimu mafunzo ya kijeshi kwa viongozi hao ikiwa ni sehemu ya kubadili mfumo wa utendaji kazi wa TANAPA kutoka wa kiraia kuwa mfumo wa jeshi usu,mafunzo kwa viongozi hao yamefanyika katika kambi ya Mlele iliyopo mkoani Katavi.

 Mmoja wa maofisa wa ngazi za juu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) akionesha umahiri katika kulenga shabaha kwa kutumia Bunduki wakati wa kuhitimu mafunzo ya kijeshi kwa viongozi hao ikiwa ni sehemu ya kubadili mfumo wa utendaji kazi wa TANAPA kutoka wa kiraia kuwa mfumo wa jeshi usu,mafunzo kwa viongozi hao yamefanyika katika kambi ya Mlele iliyopo mkoani Katavi.


 Mmoja wa viongozi wa ngazi za juu wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) akionesha umahiri katika kulenga shabaha kwa kutumia Bunduki wakati wa kuhitimu mafunzo ya kijeshi kwa viongozi hao ikiwa ni sehemu ya kubadili mfumo wa utendaji kazi wa TANAPA kutoka wa kiraia kuwa mfumo wa jeshi usu,mafunzo kwa viongozi hao yamefanyika katika kambi ya Mlele iliyopo mkoani Katavi.

 Waziri wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akitunuku cheti kwa Mhifadhi ,Erastus Rufungulo wakati wa kufunga mafunzo ya kijeshi kwa maofisa wa shirika hilo.ikiwa ni sehemu ya kubadili mfumo wa utendaji kazi wa TANAPA kutoka wa kiraia kuwa mfumo wa jeshi usu,mafunzo kwa viongozi hao yamefanyika katika kambi ya Mlele iliyopo mkoani Katavi.

Waziri wa Maliasili na Utalii,Prof Jumanne Maghembe akitunuku cheti kwa Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) wakati wa kufunga mafunzo ya kijeshi kwa maofisa wa shirika hilo.ikiwa ni sehemu ya kubadili mfumo wa utendaji kazi wa TANAPA kutoka wa kiraia kuwa mfumo wa jeshi usu,mafunzo kwa viongozi hao yamefanyika katika kambi ya Mlele iliyopo mkoani Katavi.

Post a Comment

Previous Post Next Post