Mwandishi na Mtunzi wa Kitabu cha Taken For Ride,Dr Matteo Rizzo akitoa ufafanuzi juu ya kitabu hicho kinachozungumzia biashara ya Daladala nchini mpaka kufikia kwenye mradi wa mabasi yaendayo Haraka, Mwandishi huyo ameonesha katika kitabu hicho namna biashara ya daladala nchini na katika Uchumi wa mtu mmojammoja wa madereva na Makonda.
Mwandishi na Mtunzi wa Kitabu cha Taken For Ride,Dr Matteo Rizzo akitoa ufafanuzi juu ya kitabu hicho kinachozungumzi masuala ya Daladala na kugusia uchumi katika usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dart.
Mtafiti Tasisi ya Utafiti ya Repoa , Dr Blandina Kilama akifafanua jambo mara baada ya kuwasilishwa kwa kitabu cha Taken to Ride kilichoandikwa na Mtafiti Dr Matteo Rizzo
Mbunge wa Kigoma Mjini Zito Zuberi Kabwe akichangia mada wakati wa mjadala wa kitabu hicho uliofanyika katika ukumbi wa Repoa Mikocheni Jijini Dar es Salaam.
Mchambuzi wa masuala ya uchumi nchini Profesa Honest Ngowi Akichangia mada mara baada ya kuzinduliwa kwa kitabu hicho
Baadhi ya watu walioshiriki katiika uzinduzi wa kitabu kinachozungumzi masuala ya Daladala na kugusia uchumi katika usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dart.
Mwandishi na Mtunzi wa Kitabu cha Taken For Ride,Dr Matteo Rizzo akitoa ufafanuzi juu ya kitabu hicho kinachozungumzi masuala ya Daladala na kugusia uchumi katika usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dart.
Mtafiti Tasisi ya Utafiti ya Repoa , Dr Blandina Kilama akifafanua jambo mara baada ya kuwasilishwa kwa kitabu cha Taken to Ride kilichoandikwa na Mtafiti Dr Matteo Rizzo
Mbunge wa Kigoma Mjini Zito Zuberi Kabwe akichangia mada wakati wa mjadala wa kitabu hicho uliofanyika katika ukumbi wa Repoa Mikocheni Jijini Dar es Salaam.
Mchambuzi wa masuala ya uchumi nchini Profesa Honest Ngowi Akichangia mada mara baada ya kuzinduliwa kwa kitabu hicho