KITABU KICHOZUNGUMZIA UCHUMI WA DALADALA NCHINI CHA ZINDULIWA DAR ES SALAAM

 Mwandishi na Mtunzi wa Kitabu cha Taken For Ride,Dr Matteo Rizzo  akitoa ufafanuzi juu ya kitabu hicho kinachozungumzia biashara ya Daladala nchini mpaka kufikia kwenye mradi wa mabasi yaendayo Haraka, Mwandishi huyo ameonesha katika kitabu hicho namna biashara ya daladala nchini na katika Uchumi wa mtu mmojammoja wa madereva na Makonda.   
  Mwandishi na Mtunzi wa Kitabu cha Taken For Ride,Dr Matteo Rizzo  akitoa ufafanuzi  juu ya kitabu hicho kinachozungumzi masuala ya Daladala  na kugusia uchumi katika usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dart.


Mtafiti Tasisi ya Utafiti ya Repoa , Dr Blandina Kilama akifafanua jambo mara baada ya kuwasilishwa kwa kitabu cha Taken to Ride kilichoandikwa na Mtafiti Dr Matteo Rizzo
 Mbunge wa Kigoma Mjini Zito Zuberi Kabwe akichangia mada wakati wa mjadala wa kitabu hicho uliofanyika katika ukumbi wa Repoa Mikocheni Jijini Dar es Salaam.
 Mchambuzi wa masuala ya uchumi  nchini Profesa Honest Ngowi  Akichangia mada mara baada ya kuzinduliwa kwa kitabu hicho
  Baadhi ya watu walioshiriki katiika uzinduzi wa kitabu  kinachozungumzi masuala ya Daladala  na kugusia uchumi katika usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dart.





Post a Comment

Previous Post Next Post