ZANZIBAR WAMPUUZA MAALIM SEIF

Na Mwandishi Maalum, Pemba

SIRI za ubaguzi za mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif zazidi kufichuka kutokana na kuelezwa kuwa atamaliza vyama kwa kutangatanga kwa kuwa anajua hawezi haupati urais wa Zanzibar kwa kuwa  hashindi pia haaminiwi na medani za utawala.
Pia, imeelezwa kuwa hana ubavu wala jeuri ya kushida kiti hicho na hata Maalim Seif anafahamu kuwa alikataliwa toka enzi za Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alipokwenda kumtembelea na kuzungumza naye faragha nyumbani kwake Msasani mwaka 1992.
Taarifa zaidi inaeleza Maalim  Seif anafahamu fika kuwa hawezi kupewa nchi na ndio maana anataka kuleta matatizo kwenye jamii kwa kutaka kuanzisha chuki miongoni mwa wananchi ili mradi aweze kuona damu ikimwagika kwa maslahi binafsi na si kwa watu wote.
“Maalim Seif mwanasiasa asiye na muamana kwani hakubaliki na vyombo vya utawala na jamii .Kabla ya kufukuzwa CCM,amefanya vituko vingi ndani  pamoja na kuunda makundi yalioitwa Ukuta yakimdhalisha Rais Idris Abdul Wakil hadi akazowemewa huko Wete kisiwani Pemba.
Taarifa zaidi ilisema “Mwalimu Nyerere ndiye aliyemshawishi Maalim Seif awanie NECCCM. Alimtuma Mzee Pius Msekwa amfikishie ujumbe huo .Wajumbe  toka Zanzibar hawakumpa kura.Akashinda kwa kura za Bara  .Uchu wake wa madaraka na kumchafua Mzee Wakil ulimgharimu  sana kisiasa pamoja na baadae Mzee Hayati Abdul Jumbe.
Inaelezwa hata uchaguzi wa kwanza chama cha CUF kilimtaka Mohamed Dede’s awanie urais badala ya Maalim seif na hata alipoambiwa wakati umefika chama kitoe mgombea unguja hakuafiki. Akasema nguvu ya chama ni Pemba na Unguja inasindikiza .Matamshi hayo yaliwakera kina Dk. Maulid Makame na Ali Haji Pandu.
Maalim Seif si kiongozi bora bali ni mtu mwenye kisasi na kutaka kuleta mpasuko kwenye jamii kwa kuwa amekuwa akitumia ukaribu wake na waarabu kuleta mpasuko kwa Wazanzibar, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiishi kwa amani na ushirikiano na yeye anataka kuurudisha mpasuko.
Hivyo, taarifa zaidi zinaeleza kuwa Maalim Seif anatuhuma za kuhusudu vitendo vya ushoga ambapo ana tuhuma za kuwaingilia wanasiasa wenzake mbalimbali na hata kwenda kinyuma na matakwa ya watanzania.
Maalim Seif ambaye kwa muda mrefu amekuwa akituhumiwa kujihusisha na vitendo vya kuingiliwa ama kuingilia na vilivyopigwa marufuku na MwenyeziMungu, ambavyo vinamfanya kushindwa kuwakomboa Wazanzibar ambao wamejipanga kumkataa kwa nguvu zote.

Post a Comment

Previous Post Next Post