Mbasha akiri kutopata uroda wa mkewe kwa zaidi ya miezi mitatu


Mume wa mwanamuziki wa injili Frlora Mbasha , Emanuel Mbasha ameweka wazi kuwa ajaweza kukutana na mkewe kimwili kwa zaidi ya miezi mitatu sasa na wala ajui alipo kwa sasa .

Masha alisema maneno hayo alipokuwa akizungumza na Blogu hii hivi karibuni jijini Dar es Salaama mara baada ya kuarishwa kwa kesi yake katika mahakama ya wilaya ya ilala Jijini Dar es Salaam.
“Sijaonana na flora kw azaidi ya miezi mitatu sasa na wala sijui yuko wapi labda tusibiri siku za usoni kama nitamuona ila lazima ajue nampenada sana mke wangu na sifikiri kitu kibaya juu yake mpaka sasa hivyo namuomba jae tuonane” alisema Mbasha.
Kwa upande wake mdogo wa Mbasha Patrick Mbasaha alisema mapaka sasa awajui mahali shemeji yao alipo zaidi ya kupata taharifa kuwa amesafiri kwenda nje ya nchi.
Aliongez akuwa mpaka wao awajui msimamo wa shemeji yao uko wapi zaidi ya kuwachia ndugu yao kila siku awaende nae mahakamani.
mwisho


Post a Comment

Previous Post Next Post