baraza
la watoto mkoa wa mwanza
Meneja
Huduma kwa Wateja wa Tigo Beatrice Kinabo,akisoma kitabu sambamba na wanafunzi
wa shule ya Msingi Mabatini jijini Mwanza jana, kwenye maandamano ya maadhimisho
ya siku ya mtoto wa Afrika.
Wanafunzi wa shule ya Msingi Mabatini wakiwa kwenye maandamano ya maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika jijini Mwanza jana.
Wanachama wa
Baraza la Watoto mkoa wa Mwanza,wakiigiza ukatili waupatao watoto
majumbani,kwenye maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika jijini Mwanza
jana.
![]() |
Kikundi cha Sarakasi cha Umoja kikiburudisha kwenye maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika jijini Mwanza jana |
Wanafunzi wa shule ya Msingi Mabatini wakiwa kwenye maandamano ya maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika jijini Mwanza jana.