UWT KATA YA SARANGA WATAKIWA KUJITOKEZA KUCHUKUA NAFASI ZA UONGOZI

 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam,Dorothy Kilave akizungumza na Wanawake Kata ya Saranga kwenye ziara ya kikazi kwa kata zote za Wilaya ya Ubungo ambapo amewaagiza Wanawake kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi za uongozi
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam,Dorothy Kilave,akikagua Maonesho ya Wanawake wajasilimali wa kata ya Saranga
 Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Dar es Salaam akiongea na Wanawake wa kata ya Saranga kwenye ziara ya Mwenyekiti wa wa UWT Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam,Dorothy Kilave, akicheza na Wanawake wa kata ya Saranga
 Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Ubungo akimkaribisha Mwenyekiti wa Mkoa wa Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam,Dorothy Kilave, akikabidhi kadi kwa Wanachama wapya wa UWT Wilaya ya Dar es Salaam.
 Wanachama wa Umoja wa  Wanawake wa Kata ya Saranga wakimsikiliza Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Dar es Salaam,Dorothy Kilave

Post a Comment

Previous Post Next Post