Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera akipandishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu ambapo anakabiliwa na mashtaka matatu ikiwemo uhujumu uchumi hata hivyo kesi yake imearishwa mpaka agosti 30 Mwaka huu
Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera, akiwa ndani ya mahakama ya hakimu mkazi kisutu akisubiri kusomewa mashtaka
Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera, akiondelewa ndni ya hukumbi wa mahakama na kurudishw amahabusu mpaka agosti 30
Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera, akiwa ndani ya mahakama ya hakimu mkazi kisutu akisubiri kusomewa mashtaka
Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera, akiondelewa ndni ya hukumbi wa mahakama na kurudishw amahabusu mpaka agosti 30